Mimi ndimi mchungaji mwema, Mchungaji mwema huutoa uhai wake kwa ajili ya kondoo
Mtu wa mshahara, wala si Mchungaji, ambaye kondoo si mali yake, humwona mbwa-mwitu anakuja, akawaacha kondoo na kukimbia;na mbwa-mwitu huwakamata na kuwatawanya
Yule hukimbia kwa kuwa ni mtu wa mshahara;wala mambo ya kondoo si kitu kwake.