Silaha ni chombo kilichoundwa kwa ajili ya vita, na inatumika kwa ajili ya ulinzi na kukabiliana na maadui. Kwenye fasiri la kingeresa ukisoma hilo kitabu cha YEREMIA 51:20 katika toleo la mfalme Yakobo, inasungumza kuhusu SHOKA.
TOBA ni nini? Toba ni kuacha matendo mabaya na kuanza kutenda mema, ama ni tendo la kubadilisha mawazo ya mtu kutoka kwa matendo ya uovu na kumgeukia Mungu. Kwahivyo inamanisa toba ni utaratibu wetu wakuendelea maishani mwetu.