Yesu alichukua amri kumi za Musa akafunga ndani ya amri mbili; ya kwanza kumpenda MUNGU roho yako yote, pili ni kupenda mwenzako kama nafsi yako, kwa maneno mengine, alizifupisha.
Roho Mtakatifu ni muhimu sana katika maisha ya waumini katika Kristo maana Roho Mtakatifu ndiye muhuri ya wote waliyo mpokea Christo na kuokoka na ina dhibitisha ya kwamba sisi ni watoto wa Mungu
Kulingana na wokovu, ni muhimu uwe na uhakika, maana kuna wengi ambayo wanasema ya kuwa wameokoka, lakini sivyo, kwa sababu hawakupokea injili kamilifu uletao wokovu. Lasima ijulikane ya kwamba kuna utofauti kati ya kwenda kanisani na kuokoka, maana unaweza kuwa msirika mku wa kanisa lakini hauja okoka
Maono ni uwezo ya kuona picha kwa akili yako ama kupanga mambo yajayo kwa akili na kuwa na picha ya mambo unayo panga kufanya kwa siku za baadaye. Maono pia inaeza kumanisa hali ile ya kuona picha ya mambo unayo taka kwa Roho ama kwa mawazo.