Ndugu na dada yangu, Mungu anakuitaji jinzi ulivyo, hata kama wewe ni mkorofi, njoo kwa Yesu jinzi ulivyo, hata kama wewe ni kahaba, njoo kwa Yesu jinzi ulivyo.
Sisi zote tuliyo mpokea Kristo Yesu na kufanywa kuwa wana wa Mungu (Yohana 1:12), tulipewa nafasi katika ufalme wa Mungu na kuwa warithi pamoja na KRISTO YESU.