Maono ni uwezo ya kuona picha kwa akili yako ama kupanga mambo yajayo kwa akili na kuwa na picha ya mambo unayo panga kufanya kwa siku za baadaye. Maono pia inaeza kumanisa hali ile ya kuona picha ya mambo unayo taka kwa Roho ama kwa mawazo.
Ukweli wa injili ya Kristo ni kwamba Bwana wetu Yesu Kristo alitolewa na Mungu kama dhabiu ya pwkee iondoae dhambi za wanadamu na kutuweka huru kutokana na kifungo cha matendo yetu maovu.