Lakini ufahamu neno hili, ya kuwa siku za mwisho kutakuwako nyakati za hatari. Maana watu watakuwa wenye kujipenda wenyewe, wenye kupenda fedha, wenye kujisifu, wenye kiburi, wenye kutukana, wasiotii wazazi wao, wasio na shukrani, wasio safi
2 Timotheo 3:1-2
Basi wewe mwanangu, use hodari Katika neema iliyo katika Kristo Yesu. Na mambo yale uliyoyasikia kwangu mbele ya mashahidi wengi, hayo uwakabidhi watu waaminifu watakaofaa kuwafungdisha na wengine
2 Timotheo 2:1-2
UPENDO WA CHRISTO
MAMBO MAPYA
KRISTO NDIYE MLINZI WETU
JINA LA YESU
UMUHIMU WA KRISMASI
MWISHO WA MWAKA YENYE MATUMAINI
MKABIDHI MUNGU KAZI YAKO
NGUVU KATIKA NENO LA MUNGU
KRISTO YESU MTUALIZI WA MIZIGO ZETU
NENO LA BWANA NI UZIMA
YESU KRISTO NDIYE NGUVU YETU