Inaweza kuhaririwa na kuhariri ukurasa kutoka kwa jopo la kudhibiti
Makala
Therefore, if any man be in Christ, he is a new creature: old are passed away;behold all things are become new 2corinthians 5:17
Ukurasa 1 / 1
JE UNA UHAKIKA UMEOKOKA?
11 Novemba 2025
Kulingana na wokovu, ni muhimu uwe na uhakika, maana kuna wengi ambayo wanasema ya kuwa wameokoka, lakini sivyo, kwa sababu hawakupokea injili kamilifu uletao wokovu. Lasima ijulikane ya kwamba kuna utofauti kati ya kwenda kanisani na kuokoka, maana unaweza kuwa msirika mku wa kanisa lakini hauja okoka