Kuwa kiumbe mpya inamaniza kubadilishwa kwa mtu wa ndani, na kuanza kuishi maishamapya. Kama vile maanding kwenye kitabu cha Wagalatia 2:20 Paulo anasema kwamba sio yeye aishie, bali Kristo anaishi ndani yake.
Kuna umuhimu kubwa kutembea na kristo, mtu anapo okoka anapaswa kutembea na Kristo ili maisha yake yasalia matakatifu na kuwa na hakikisho wa ulinzi tosha.
Kila mtu atendaye kazi upata thawabu, kwahivyo nasi tunayo tenda kazi katika mwili wa Kristo, kuna thawabu iliyo tayarishwa kwa ajili yetu. Chochote ufanyacho kwa ajili ya ufalme si bure, Mungu atakupa thawabu wakati wa Mungu ukifika.